Wenger kurejea kazi ya ukocha

Kocha Arsene Wenger

Meneja wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger anajipanga kurudi katika kazi yake ya ukocha, huku ripoti zikieleza kuwa ataifundisha Timu ya Taifa ya Qatar katika kuelekea michuano ya Kombe la Dunia la 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS