''Vijana mnaijua sheria ya mwaka 1999 ?'' - Jokate
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amewapa changamoto vijana kwa kuwakumbusha juu ya kutumia fursa za uwekezaji hususani kwenye ardhi ambapo amehoji juu ya idadi ya vijana ambao wamepitia sheria ya ardhi ya mwaka 1999.