Mwinyi Zahera aondoka, Yanga yathibitisha Kocha Mwinyi Zahera Klabu ya soka ya Yanga kupitia kwa Afisa habari wake Dismas Ten imethibitisha kuwa kocha wa wake Mwinyi Zahera ataondoka nchini muda wowote kuanzia sasa ambapo atakwenda kwenye matibabu nchini Ufaransa. Read more about Mwinyi Zahera aondoka, Yanga yathibitisha