Anaswa amebeba vipodozi haramu akidai ni mtoto

Mwanamke akiwa amebeba vipodozi bandia vyenye muonekano wa mtoto mdogo.

Maafisa wa polisi nchini Uganda, wamemkamata mwanamke mmoja aliyekuwa akivuka mpaka wa nchi hiyo kutokea nchini Congo, akiwa amebeba vipodozi haramu alivyokuwa amevifungasha na kuvivalisha kwenye nguo ya mtoto, ambayo ilileta uhalisia wa mtoto mdogo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS