Waziri wa zamani afichua siri hii ya Samatta Mbwana Samatta Mbunge wa Chemba Juma Nkamia, ameeleza jinsi alivyompambania Mchezaji wa Aston Villa Mbwana Samatta, ili kuhakikisha anatimiza ndoto yake ya kwenda kucheza soka Ulaya. Read more about Waziri wa zamani afichua siri hii ya Samatta