'Hatua alizozichukua Rais ni faraja' - Lugola

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema kuwa ataendelea kumuunga mkono Rais Magufuli hata baada ya yeye kumtengua na kwamba hatua aliyoichukua Rais Magufuli ni njema kwani ina lengo la kujenga safu ya Serikali ya awamu ya Tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS