Barcelona yaongoza duniani kwa wafuasi mtandaoni
Mtandao unaojihusisha na masuala ya data na fursa za kimtandao kwa wanamichezo, vilabu na mashirikisho wa 'Result Sports' wenye makao makuu mjini Büdingen nchini Ujerumani umetoa listi ya klabu za soka zenye wafuasi wengi duniani katika mtandao ya kijamii.

