Wananchi waamua 'Kula Bata', DC awataka waache Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro, amewataka wakulima wa Korosho ambao tayari wamekwishapata malipo yao, wawekeze fedha zao kwenye mambo ya msingi na si kutumia kwa ajili ya kufanya sherehe. Read more about Wananchi waamua 'Kula Bata', DC awataka waache