Dr Kigwangalla aongoza kampeni 'Twenzetu Kinature'

Dr. Kigwangalla na baadhi ya wasanii wa Bongo Movie kwenye matembezi ya kampeni ya Twenzetu Kinature.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamis Kigwangalla ameongoza watu mashuhuri wakiwemo wasanii wa muziki wa kizazi kipya na wasanii wa filamu nchini katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kufahamu vivutio vya ndani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS