Exclusive : Lulu Diva ampigia simu Jaguar
Kupitia EATV & EA Radio Digital, tumekuandalia mahojiano maalum kati ya Lulu Diva, ambaye amempigia simu msanii na Mbunge wa jimbo la Starehe kutoka nchini Kenya Jaguar ili kuzungumzia suala la mahusiano yao kwa sasa.

