Zungu ateuliwa, Simbachawene amrithi Kangi Lugola Kutoka kushoto ni Mussa Azzan Zungu, Kangi Lugola na George Simbachawene Rais Dkt. John Magufuli amemteuwa Mbunge wa Ilala Dar es salaam Mh. Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira. Read more about Zungu ateuliwa, Simbachawene amrithi Kangi Lugola