Zungu ateuliwa, Simbachawene amrithi Kangi Lugola

Kutoka kushoto ni Mussa Azzan Zungu, Kangi Lugola na George Simbachawene

Rais Dkt. John Magufuli amemteuwa Mbunge wa Ilala Dar es salaam Mh. Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais  Muungano na Mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS