Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simiyu hatarini na Kifua Kikuu

Wednesday , 22nd Mar , 2023

 Imeelezwa kuwa kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi ikiwamo uchimbaji wa madini na uvuvi mkoani Simiyu, umesababisha ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) mkoani humo.

Mratibu wa Kudhibiti ugonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma Mkoa wa Simiyu, Emmanuel John, ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari Mjini Bariadi.

“TB kwenye Mkoa wa Simiyu inaongezeka (maambukizi) kutokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi, hususani wachimbaji wadogo wadogo wa madini na kambi za uvuvi kule Busega. Mwaka jana tulikuwa na wagonjwa 3,600 ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo tulikuwa na wagonjwa 2,700,” amesema Emmanuel.

Mratibu huyo ameogeza kwamba kwa mujibu ripoti ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa mwaka 2021, Tanzania ilikuwa na watu 132,000 walioambukizwa ugonjwa huo, na kwamba mpango wa Taifa ni kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu ifikapo mwaka 2030.

Hata hivyo, jamii imeshauriwa kuchukuwa tahadhari kwa kuvaa barakoa kwenye msongamano wa watu, ili kuepusha na hatari ya maambukizo ya ugonjwa huu wa Kifua Kikuu.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ