Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume Kigoma wapigwa na wake zao

Monday , 23rd Jan , 2023

Baadhi ya wanaume na wanawake Katika Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wamelalamikia ukatili wa kupigwa na wenza wao wa ndoa na kusababisha ndoa nyingi kuvunjia kwa kupeana talaka huku watoto wakiathirika na vitendo vya ukatili kwa kukosa malezi bora ya wazazi.

Wanaume wa mkoani Kigoma

Hayo yamebainishwa na baadhi ya Wenyeviti wa Vijiji wilayani Buhigwe, akiwemo Juma Kironda, nakuomba wiki ya sheria itumike katika kusaidia kutatua migogoro ya ndoa ambayo imeathiri ustawi wa familia na kukwamisha uzalishaji mali.

Wamesema licha ya kufanya usuluhisho, bado wanaume na wanawake wanapigwa na wenza wao wa ndoa, huku wanawake wakiomba wanaume kusimamia majukumu yao ya kifamilia.

Akizungumza wakati wa kutoa elimu ya sheria katika uzinduzi wa wiki ya sheria, Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Buhigwe Katoki Venance amewasihi wananchi kutumia wiki ya sheria kutatua tofauti zilizopo na kupata haki.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Nganyalina, amesema wilaya ya Buhigwe inakabiliwa na migogoro ya ardhi, ndoa, na mirathi na kwamba wananchi wanatakiwa kutumia uwepo wa mahakama ya wilaya kumaliza migogoro kisheria hasa kwa njia ya usuluhishi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita