picha ya msanii Barbiemia
"Nitakuja kumreplace Vanessa siku moja kwa sababu sijamuona mtu anafanya kitu kama Vanessa Mdee na haitakuja kutokea na ikitokea haiwezi kuwa kama yeye ila mimi naamini naweza kufanya kitu ikawa zaidi ya Vanessa Mdee". amesema Barbiemia
Barbiemia amefunguka hilo kupitia show ya Planet Bongo ya East Africa Radio kila siku ya J3 mpaka Ijumaa kuanzia saa 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni.