Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaoambukiza vijana VVU makusudi waonywa

Thursday , 1st Dec , 2022

Jamii ya watu wanaojitambua kuishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wilaya ya Tabora wametakiwa kuacha kutumia vishawishi ikiwemo kuwadanganyia fedha vijana wadogo na hatimaye kuwapa maambukizi kwa makusudi.

Wadau wa UKIMWI mkoa wa Tabora

Katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo kwa wilaya ya Tabora yamefanyika viwanja vya shule ya msingi Kapunze, Kata ya Ikomwa, wadau wa mapambano dhidi ya  maambukizi ya virusi vya  UKIMWI  wilayani Tabora,wakati wakitoa salamu katika maadhimisho hayo wamesema wapo watu wenye fedha wakiwemo akinamama wenye umri mkubwa wamekuwa wakiwalaghai vijana kwa fedha na hatimaye kuwatumbukiza katika maambukizi ya UKIMWI.

Akizungumza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Ramadhani Kapela, ambaye ndiye mgeni rasmi katika maadhimisho hayo amesema kitendo hicho sio cha kiungwana huku akitoa rai kwa jamii pia kuacha kuwanyanyapaa watu wenye maambukizi ya VVU.

Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya UKIMWI hii leo Desemba Mosi, 2022, Mratibu wa UKIMWI katika Manispaa ya Tabora Aziza Mgeta, ametaja maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa wilaya ya Tabora kupungua kutoka 5% mpaka 3.8% kwa mujibu wa utafiti uliofanyika mwaka 2019.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ