Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Soko la Bima bado liko chini-Dkt Sakware

Monday , 21st Nov , 2022

Kufuatia serikali kupitisha azma ya kuwepo kwa bima ya afya kwa kila mwananchi nchi nzima tayari sasa serikali imewataka wadau kuanzisha mafunzo kwa watoa huduma hiyo ili kuhakikisha kila mtu kwenye kila kijiji anafikiwa na huduma hiyo.

Kamishina wa Bima nchini Tanzania Dkt Bagayo Sakware

Rai hiyo imetolewa na kamishina wa bima nchini Tanzania dkt Bagayo Sakware ambaye amethibitisha kuwa soko la bima nchini bado lina uhitaji mkubwa wa wadau ambapo mara baada ya serikali kupitisha sheria za bima ya afya kwa wote uhitaji umeongezeka hivyom kuweka utaratibu sasa wa kupitia watoa huduma kuwafikia watanzania walioko vijijini

Utekelezaji wa agizo hilo umeanza ambapo kampuni ya bima ya Jubilee Alliance Insurance wameanza mchakato wa kuwaanda mawakala wa bima ambao watasambaa kila kijiji kufanya huduma hiyo wakibainisha kuwa hadi sasa ni asilimia sita tuu ya watanzxania wenye ufahamu wa bima.

Hata hivyo sekta hiyo wadau wametakiwa kuwa na maadili na kwa wale wote watakaopatiwa mafunzo watasajiliwa kama maafisa wa bima nchini wakiwa na sifa sasa ya kuwahudumia watanzania popote.

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ