Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

England na kibarua kigumu kwa Hispania EURO

Wednesday , 20th Jul , 2022

Wenyeji wa michuano ya Ulaya ya wanawake, timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Wanawake ya England inajiandaa kwa mchezo wao mgumu zaidi ya michuano ya EURO ya Wanawake watakapo umana na Uhispania katika hatua ya robo fainali Jumatano ya leo Julai 20, 2022.

Wachezaji wa Timu ya taifa ya wanawake ya England

Uhispania wana kikosi kilichojaa washindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, na ni moja kati ya timu zinazopigiwa upatu kutwaa Ubingwa hata kabla ya michuano hiyo kuanza. England wao wana faida ya kucheza nyumbani katika mji wa Brighton, katika mchezo huo wa kuwania nafasi ya kufuzu nusu fainali.

Imani imeongezeka kwa kikosi cha wenyeji England, waliyo orodheshwa katika nafasi ya nane kwenye viwango vya ubora duniani, wakiwa nyuma kwa nafasi moja tu na Uhisapania, wakiwa wamecheza michezo 17 mfululizo bila kufungwa tangu Mholanzi Sarina Wiegman achukue nafasi ya Kocha Mkuu kukinoa kikosi hicho mwezi Septemba mwaka 2021.

England ilishinda michezo yote mitatu katika hatua ya makundi bila kuruhusu bao hata moja, huku wakifunga magoli 14 na kuipiku rekodi ya awali ya michuano hiyo ya ya kufunga magoli 11 iliyowekwa na Ujerumani mwaka 2011.

Ushindi wa mabao 8 kwa 0 walioupata dhidi ya Norway katika mchezo wao wa pili, nao ndio ulikuwa ni ushindi mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi