Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahmed'' Ni furaha kutwaa taji kwa kuifunga Yanga''

Wednesday , 25th May , 2022

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa hawana nafasi ya kuchukua taji la Ligi Kuu msimu huu ndiyo maana wameweka nguvu kubwa katika Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambayo Jumamosi watacheza nusu fainali dhidi ya Yanga katika uwanja wa CCM Kirumba

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally.

Ahmed amesema kuchukua taji la ASFC itakuwa faraja kubwa kwa Wanasimba lakini kuifunga Yanga Jumamosi itakuwa jambo bora litakalotufanya kumaliza msimu kwa furaha.

Ahmed ameongeza kuwa kikosi kinaendelea vizuri na mazoezi na wachezaji waliokuwa wamepata majeraha wanaendelea vizuri na tunategemea watakuwepo kwenye mchezo wa Jumamosi.

“Mlinda mlango Aishi Manula aliumia vidole viwili kabla ya mchezo wetu dhidi ya Geita Gold lakini anaendelea vizuri na anafanya mazoezi ya kucheza mpira na wachezaji wa ndani, na kwa matibabu anayopata tunatarajia atakuwa fiti kabla ya mchezo.

“Shomari Kapombe naye anaendelea vizuri pamoja na Clatous Chama ambaye alianza mazoezi mepesi Jumatatu na wote tunatarajia watakuwa tayari kwa mchezo wa Jumamosi,” amesema Ahmed.

Ahmed amewaomba pia mashabiki wetu kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuisapoti timu kuhakikisha tunaibuka na ushindi.

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ