Kutoka upande wa kushoto ni Marioo, Diamond na Alikiba
Marioo ameweka wazi hilo kupitia Insta Story yake kwa kujibu collabo hizo zitakuja hivi karibuni baada ya mashabiki wake kuulizia kuhusu kufanya kazi na wasanii hao Diamond na Alikiba.
Zaidi tazama hapa kwenye video.