Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aubameyang amfikia Memphis Barcelona

Wednesday , 11th May , 2022

Mshambuliaji wa Barcelona Pierre-Emerick Aubameyang sasa ameungana na Mephis Depay katika wachezaji wenye magoli mengi zaidi msimu huu katika kikosi cha barcelona.

(Pierre-Emerick Aubameyang)

Aubameyang amefikisha magoli 13 kwa ujumla aliyofunga tangu ajiunge na klabu hiyo mwezi january mwaka huu baada ya kufunga magoli mawili katika mchezo wa jana walioshinda magoli 3 kwa 1 dhidi ya Celta Vigo, akiwa sawa na Memphis Depay aliyefunga goli moja katika mchezo huo naye akifikisha magoli 13. Huku Ousumane Dembele akiongoza kwa kutoa pasi za magoli katika la liga msimu huu akifikisha pasi 13 za mwisho za usaidizi wa magaoli.

(Gari la wagonjwa lilipoingia uwanjani kumchukua Ronald Araujo)

Lakini ushindi huo uligubikwa na na huzuni baada ya mlinzi Ronald Araujo kugongana vichwa na Gavi kitendo kilichofanya Ronald Arauajo kushindwa kuendelea na mchezo baada kupoteza fahamu na kutolewa nje ya uwanja na kupelekwa hospitali kwa gari la wagonjwa katika kipindi cha pili.

Gavi na Araujo waligongana vichwa wakigombea mpira wa juu na baada kuanguka chini Araujo alisimama na kutembea hatua chake kisha alianguka tena na muda si mrefu timu za matibabu za vilabu vyote viwili zilikwenda kutoa huduma kwa beki huyo raia wa Uruguay.

Baadaye uongozi wa Barcelona walitoa taarifa kwamba fahamu zilimrudia beki huyo na kuzinduka wakati alipopelekwa hospitalini.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi