Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gharama za maisha zatatiza Masoko ya Hisa

Monday , 9th May , 2022

Taarifa kutoka soko la hisa la Dar es salaam imeonyesha kushuka bei hisa zake sokoni kutokana na myumbo uliopo kwenye kupanda kwa bei za bidhaa hali inayosababisha wawekezaji kuchukua tahadhari katika kufanya uwekezaji.

Mtendaji Mkuu wa soko la hisa Moremi Marwa

Mtendaji Mkuu wa soko hilo Moremi Marwa amesema kwa wiki hii kumekuwepo na  punguzo la ukuaji wa mtaji sokoni la bilioni 12 kutoka trillion 10.2 tarehe 29 April hadi kufikia trillion 10.19 mnamo tarehe 6 Mei 2022..

Aidha Katika upande wa Hatifungani zilizoorodheshwa sokoni zimebakia katika kiwango cha trillion 15.71 huku hati fungani za muda mrefu hususani za miaka kumi na mitano za serikali zikiendelea kuaminiwa zaidi na wawekezaji.

Kuhusu mchanganuo wa uwekezaji asilimia 25 ya Uwekezaji kwa upande wa manunuzi ulichangiwa na wawekezaji wa ndani wa nje wakichangia asilimia 75 katika upande huo,ambapo 28 asilimia ya Mauzo ikichangwa na wawekezaji wa ndani na asilimia 72 kutoka nje hivyo kufanya soko kutawaliwa na wawekezaji kutoka nje kwenye Mauzo na manunuzi.
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi