Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzanite yaweka kambi Arusha

Monday , 24th Jan , 2022

Timu ya Taifa ya Tanzania ya wanawake chini ya miaka 20 ''Tanzanite'' imeondoka Zanzibar kuelekea Karatu mkoani Arusha kwa kambi ya maandalizi ya mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia utakaochezwa mapema mwezi ujao.

Wachezaji wa Tanzanite wakishangilia goli dhidi ya Ethiopia

Tanzanite imeondoka visiwani Zanzibara leo baada ya hapo jana kushinda bao 1-0 dhidi ya Ethiopia kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza ambao umechezwa katika uwanja wa Amaan  Zanzibar. Bao pekee la mchezo huo limefungwa na Christer John dakika ya 64 kwa mpira wa adhabu (free kick).

Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini TFF Wilfred Kidao aliweka wazi kuwa kikosi hicho kitaweka kambi Karatu kwa sababu hali ya hewa ya huko inafanana na ile ya Ethiopia ambapo Tanzanite itacheza mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wenyeji wao Ethiopia utakaochezwa kati ya Februari 4 mpaka 6 2022.

Mshindi wa jumla wa mchezo wa Tanzania na Ethiopia atacheza na mshindi wa jumla wa mchezo kati ya Ghana na Uganda kwenye hatua inayofata na tayari mchezo wa mkondo wa kwanza Ghana inaongoza 2-1. Afrika itawakilishwa na timu mbili tu kwenye fainali za kombe la Dunia za wanawake chini ya umri wa miaka 20 zitakazofanyika nchini Costa Rica mwezi Agosti mwaka huu.

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ