Lengai Ole Sabaya
Hayo yamejiri hii leo Januari 21, 2022, wakati mshtakiwa huyo wa kwanza katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Sabaya na wenzake sita akiendelea kutoa ushahidi wake mahakamani hapo.
Lengai ole Sabaya pamoja na wenzake katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi wanakabiliwa na tuhuma za kuchukua kiasi cha shilingi milioni 90 kutoka kwa mfanyabiashara Francis Mrosso kwa madai kwamba amekwepa kodi