Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msukuma ajitosa kuwania uspika wa Bunge

Tuesday , 11th Jan , 2022

Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Dkt. Joseph Kasheku Msukuma amejitosa kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya leo Januari 11, 2022, kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Chake cha CCM.

Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Dkt. Joseph Kasheku Msukuma

Mchakato wa kumpata mgombea ndani ya CCM.

Mchakato wa kumpata spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Kuanzia tarehe 10-15, linafanyika zoezi la kuchukua na kurejesha fomu kwa wabunge wa CCM kuomba kuteuliwa na chama kuwania kiti cha Spika''.

''Tarehe 17, 2022 sekretarieti ya Halmshauri Kuu ya Taifa itakutana kwaajili ya kujadili wagombea na kuishauri Kamati Kuu juu ya wagombea ambao wamejitokeza kuomba kiti cha uspika''.

''Tarehe 18-19 kutakuwa na kazi ya kuchuja na kufanya uteuzi wa mwisho ambapo kamati kuu ya Halmashauri kuu itafanya kazi hiyo''.

''Kuanzia tarehe 21-30, katika siku hizo, Cocas ya Chama ya wabunge wa CCM itapiga kura kumpata mbunge ambaye atakwenda kusimama bungeni kwaajili ya kuomba kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania''.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini