Picha ya Sallam SK kushoto, kulia ni Joh Makini
Joh Makini aka-comment kwenye post hiyo kwa kusema Sallam aelezee ameiunganisha vipi kwani alipambana sana kukwamisha wimbo huo usifanyike.
"Aelezee aliunganisha vipi yeye sio chanzo cha hiyo collabo, kwa mazingira niliyofanya collabo na AKA nitawashukuru sana Nikki wa Pili na G NakoWarawara lakini waliomleta walikua hawataki itokee".
"Muarabu alipambana sana kukwamisha hii basi tu Mwenyezi Mungu hajawahi kushindwa" ameandika Joh Makini