Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe, ameitaja aina ya sumu waliyonyweshwa watoto hao kuwa ni ya kuulia wadudu aina ya Incecron Profenos 720g/L.
Kamanda Mwaibambe ameongeza kwamba watoto watatu na mama yao bado wanapatiwa matibabu kwenye kituo cha Afya Bwanga
Watoto waliopoteza maisha ni Jane Mgema (12) na Janeth Mkama (2).