Picha ya mfano
Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Hanan Bafagih amesema hatua hiyo imekuja kufuatia hoja iliyoibuliwa na madiwani wakiomba kupelekwa wataalam kwaajili ya kupima mawe hayo ambayo huenda yakawa vyanzo vya utalii na hivyo kuongeza mapato kwa halmashauri hiyo.
Zaidi tazama video hapo chini