Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV na EA Radio yakaribishwa Shinyanga

Monday , 27th Sep , 2021

Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga George Kyando ameikaribisha timu ya East Africa TV na East Africa Radio ambayo ipo wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi kupitia kampeni ya Namthamini 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga George Kyando

''Karibuni sana mkoa wetu wa Shinyanga kwa ujumla hali ya ulinzi na usalama ya mkoa ni njema na natumaini mmeingia salama na mtatoka salama'', ameeleza RPC George Kyando.

Aidha RPC Kyando ameongeza kuwa ndani ya mkoa huo kuna ukatili dhidi ya watoto wa kike na makosa ya kijinai dhidi ya watoto wa kike na hii inasabishwa sana na ndoa na mimba za utotoni''.

Wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio wakiwa na mkuu wa Wilaya ya Shinya Jasinta Mboneko (katikati)

Timu ya Namthamini ikiongozwa na watangazaji Samson Charles pamoja na Najma Paul ipo mkoani Shinyanga kwaajili ya zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika wilaya za Shinyanga na Kishapu.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini