Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manny Pacquiao kugombea Urais Ufilipino 2022

Monday , 20th Sep , 2021

Bondia wa kimataifa kutoka nchini Ufilipino, Manny Pacquiao ameweka wazi dhamira yake ya kuwania nafasi ya kiti cha urais kwa mwaka 2022, kwa kutokupendezwa na ufisadi uliokithiri kwenye serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Rodrigo Duterte ambaye anayemaliza wakati wake.

Bondia Manny Pacquiao akizipiga na Yordenis Ugas wa Cuba kwenye mpambano wa kuwania mkanda wa ubingwa wa WBA super welterweight Agosti mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kupotwza ubingwa huo.

Pacquiao, ambaye sasa ni seneta, aliteuliwa Jumapili na washirika wake wa chama cha PDP-Laban wakati wa bunge la kitaifa la chama hicho, ikiwa ni siku chache baada ya chama tawala kumchagua Rais wa sasa kama chaguo lao kuwania nafasi ya makamu wa urais na msaidizi wake wa muda mrefu, Seneta Christopher Go, kama mgombea urais.

Pacquiao kwa nyakati tofauti alikuwa mshirika wa karibu wa Rais Duterte, lakini baada ya uchuguzi wake na kugundua kuwa zaidi ya bilioni 10 za kifilipino zilizotolewa kwaajili ya misaada ya janga la UVIKO-19 iliyokusudiwa kusaidia familia masikini bado hazijulikani zilipokwenda.

Bingwa huyo wa mara nane kwenye uzani wa kati wa ngumi ulimwengu na shujaa mpendwa wa kitaifa anamaliza uvumi uliokuwa ukiendelea juu ya kustaafu masumbwi wiki kadhaa baada ya kupoteza pambano lake la mwisho la dhidi ya Mcuba, Yordenis Ugas huko Las Vegas.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ