Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ayoub Lyanga yupo fiti, vibali vya mkwamisha Zulu

Friday , 17th Sep , 2021

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano kwa klabu ya Azam, Zacharia Thabit amethibitisha kuwa winga wake nyota, Ayoub Lyana aliyekuwa anasumbuliwa na majeraha kwasasa yupo fiti ilhali nyota mpya, Charles Zulu anataraji kukosekana kwasababu nyaraka zake za vibali hazijakamilika.

Mshambuliaji wa klabu ya Azam, Ayoub Lyanga.

Zacharia Thabiti amesema; "Ayoub alipata majeraha kwenye mechi hiyo, lakini sasa yuko fiti kuivaa Horseed. Ila mchezaji ambaye aliikosa mechi hiyo Charles Zulu ataendelea kuikosa kutokana na matatizo la nyaraka pamoja na yeye pia kuwa majeruhi".

Mbali na taarifa za wachezaji hao, Zaka amesema wanafahamu umuhimu na ugumu wa mchezo huo lakini kwa kuwa lengo la klabu hiyo ni kupata matokeo mazuri na kusonga mbele kwenye hatua ya kwanza ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika basi hawana budi ya kulinda ushindi wao.

"Tuko mbele kwa  mabao mawili. Tutakachokifanya kwenye mechi hiyo ni kuulinda zaidi  ushindi wetu kwasababu hata wao wanahitaji mabao 2-0 ili wasonge mbele. Tunalijua hilo na tutapambama".

Azam inataraji kucheza mchezo wake wa marudiano dhidi ya Horseed ya Somalia saa 4:00 jioni  Jumanmosi ya Septemba 18, 2021 kwenye dimba la Chamazi na mchezo huo utahesabika Horseed kuwa kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuchagua uwanja huo kufuatia machafuko nchini kwao.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi