Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini 2021 yazinduliwa rasmi

Friday , 28th May , 2021

Ikiwa leo ni Siku ya Hedhi Salama Duniani, East Africa Television na East Africa Radio imezindua kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2021, tayari kwa kukusanya taulo za kike (pedi) na kuzigawa kwa wanafunzi wa kike wenye uhitaji waliokatika mazingira magumu katika maeneo mbalimbali nchini.

Balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama akipokea mchango wa pedi kutoka kwa Devotha Mkwawa

Akiongea kupitia kipindi cha DADAZ ambapo uzinduzi umefanya rasmi mtangazaji wa kipindi hicho Bhoke ameeleza mafanikio makubwa ya kampeni hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilianza mwaka mnamo mwaka 2017.

Mtangazaji Bhoke

''Tangu kampeni ya Namthamini NasimamaNaye ianze mwaka 2017, East Africa Television na East Africa Radio zimefanikiwa kugawa pedi zaidi ya 40,000 ambazo zimewasaidia wanafunzi zaidi ya 10,000 nchini kote,'' ameeleza Bhoke.

Aidha, moja ya wazalishaji wa pedi ambao wamekuwa wakishirikiana na East Africa Television na East Africa Radio kwa kiasi kikubwa katika kufikia lengo, kampuni ya Keys Pads kupitia mwakilishi wake Heris Mtui wamesema kwa sasa suala la pedi lipo wazi zaidi ukimya umeshavunjwa.

Heris Mtui kutoka Keys Pads

''Unajua wakati kampeni ya Namthamini inaaza mambo hayakuwa kama leo, kiukweli tumefanikiwa sana kuvunja ukimya na hata dukani huwezi kukuta tena pedi zinafichwa badala yake zinawekwa kama bidhaa za mbele kabisa,'' amesema Mtui.

Msanii Madee ni miongoni mwa wageni kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Namthamini

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi