Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutaukumbuka msimu huu kila wakati- Pep Guardiola

Wednesday , 12th May , 2021

Baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England msimu wa 2020/21 kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema kuwa huu ni msimu utakao baki kwenye kumbukumbu zao kwani ulikuwa ni msimu mgumu mnoo kuliko misimu yote na amekiri kuwa EPL ndio Ligi ngumu zaidi.

Guardiola

Manchester City walitangazwa rasmi kuwa mabingwa wa EPL msimu huu, usiku wa jana mara baada ya Manchester United kufungwa na Leicester City mabao 2-1 kwenye mchezo amabao ulipigwa katika dimba la Old Traford.

Matokeo hayao yaliifanya Manchester City yenye alama 80 kuendelea kuwa na tofauti ya alama 10 dhidi ya Manchester United wanaoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wakiwa na alama 70, ikiwa imesalia michezo mitatu hivyo hakuna timu inayoweza kufika alama walizonazo City.

Baada ya kuutwaa ubingwa huo ambao ni wa tatau (3) kwa Man City ndani ya mismu minne chini ya kocha huyo raia wa Hispania. Kuhusu ubingwa huu Pep amesema,

“Huu umekuwa msimu wa tofauti sana. Huu umekuwa mgumu sana, tutaukumbuka msimu huu kila wakati kwa jinsi tulivyoshinda. Ninajivunia kuwa meneja wa kikosi hiki na kundi hili la wachezaj,i ni wapekee sanaa. Tumepitia mengi msimu huu vizuizi na shida zote ambazo tumekabiliana nazo na kuonyesha mwendelezo bora hakika ni wa kushangaza tena bila kuchoka.”

Guardiola ambaye amawahi kufanya kazi nchini Hispania na Ujermani akasisitiza kuwa ligi kuu ya England ni ligi ngumu zaidi

"Nimekuwa Hiispania, nimekuwa Ujerumani na naweza kusema hii ni ligi ngumu zaidi, ningesema kwa mbali. Kwa hivyo inamaana kubwa kwa kila mtu."

Guardiola mwenye umri wa miaka 50 hili linakuwa ni taji lake la nane(8) tangu ajiunge na Manchester City mwaka 2016, lakini pia ni taji la pili msimu huu baada ya kutwaa ubingwa wa Carabao Cup.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi