Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joash Onyango atamba kuelekea kariakoo Derby

Tuesday , 4th May , 2021

Beki  wa kati  Klabu ya  Simba Joash Onyango  wameweka wazi kwamba watapambana kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Mei 8, Uwanja wa Mkapa.

Mlinzi wa kati wa klabu ya Simba, Joash Onyango akiwa mazoezini.

Nyota huyo ambae ni raia wa kenya,Joash   amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo ambao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku akisema mchezo  utaonesha taswira nzima ya kutetea ubingwa wao VPL. 

"Kwetu sisi kila mchezo ni muhimu na kikubwa ni kuona kwamba tunapata pointi tatu muhimu lakini naamini kwa namna ambavyo tumejiandaa kwanzia sisi wachezaji hivyo mashabiki waje kwa wingi".

Mchezo wao wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Yanga 1-1 Simba hivyo Mei 8 utakuwa ni mchezo wa kusaka ushindi ili kujenga ufalme katika kusaka ubingwa wa ligi.

Simba ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 61 baada ya kucheza mechi 25, Yanga ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 57 baada ya kucheza mechi 27 hivyo mshindi wa mchezo huo atakuwa anajenga mazingira ya kuelekea ubingwa.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ