Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Na akili zangu timamu sikabidhi kitu kibaya"- RC

Wednesday , 3rd Feb , 2021

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amekataa kukabidhi madawati 50 pamoja na meza 10 za walimu katika shule ya msingi Mtakanini iliyopo wilaya ya Namtumbo  mkoani humo baada ya kukuta meza pamoja na madawati yakiwa mabovu na kuagiza yaende yakafanyiwe marekebisho.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme

Hatua hiyo imejiri wakati alipokwenda kuzindua vyumba viwili vya madarasa pamoja na kukabidhi madawati 50 na meza 10 za waalimu katika shule ya Mtakanini iliyopo mkoani humo.

"Madawati yameshavimba tayari hata mtoto hajakalia, meza imeachia, kiti kimeachia wakikaa sketi zitachanika naomba marekebisho yakafanyike, Haya madawati wala meza sikabidhi mpaka zikafanyiwe marakebisho, siwezi kukabidhi kitu kibovu namna hiyo, hawezi kututengeneza kitu kibovu cha namna hii, mimi na akili zangu timamu nakabidhi kitu kibaya namna hii siwezi", amesema RC Mndeme

Awali akielezea changamoto ambazo zinaikabili shule hiyo, mkuu wa wilaya ya Namtumbo Sophia Kizigo, amesema shule hiyo inakumbwa na changamoto ya ukosefu wa madawati 40 pamoja na meza za walimu hali inayofanya wanafunzi kushindwa kushiriki masomo kikamilifu.

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi