Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni 'War In Duola' Cameroon, Tanzania Vs Guinea

Wednesday , 27th Jan , 2021

Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars itajua hatma yake ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN leo saa 4:00 Usiku, ambapo itashuka dimbani dhidi ya timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa kundi D,Taifa stars inahitahi ushindi ilikusonga mbele.

Kikosi cha timu ya Taifa “Taifa Stars” wakiwa kwenye mazoezi Uwanja wa Bonamoussadi,Douala kuelekea mchezo wa mwisho Kundi D mashindano ya CHAN vs Guinea leo.

Timu hizi zinatofautiana alama 1 tu kwenye msimamo wa kundi D, Guinea ndio vinara wa kundi wakiwa na alama 4, baada ya kuifunga Namibia mabao 3-0 kwenye mchezo wa kwanza kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 Zambia kwenye mchezo uliopitana, wakati Tanzania wapo nafasi ya tatu wakiwa na alama 3 alama ambazo walizipata kwenye ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namibia baada ya kupoteza mchezo wa kwanza mbele ya Zambia.

Timu itakayoshinda mchezo huu itafuzu kucheza hatua ya robo fainali, lakini matokeo ya sare yatakuwa na faida zaidi kwa Guinea, matokeao pekee yatayaoivusha taifa stars ni matokeo ya ushindi tu pasipokujalisha matokeo ya mchezo mwingine wa kundi hili ambao unazikutanisha Namibia ambayo inaburuza mkia kwenye kundi ikiwa haina alama hata moja na Zambia ambao wana alama 4 wakiwa nafasi ya pili mchezo ambao utachezwa Saa 4:00 Usiku.

Mshindi wa kundi hili atacheza na mshindi wa pili wa kundi C’ timu ya taifa ya Rwanda na timu itakayomaliza nafasi ya pili kwenye kundi D itacheza na kinara wa kundi C ambao ni mabingwa watetezi timu ya taifa ya Morocco.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi