Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa Msumbiji aeleza alivyoona dhahabu Chato

Monday , 11th Jan , 2021

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi, amesema kuwa leo mara baada ya kufika katika anga la Chato, aliona mashimo mengi chini ikiwa ni kiashirio cha uchimbaji wa dhahabu na kusema kuwa Geita ni mkoa tajiri.

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 11, 2021, wakati akizungumza na wananchi wa Chato, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda, Chato, pamoja na mwenyeji wake Rais Dkt. John Magufuli.

"Tumeona huu mkoa ni mkoa tajiri kabisa, tumeona wameanza kuchimba chimba mashimo, wakichimba nadhani kuna dhahabu pale, tumeona mpunga na mashamba nadhani kuna samaki pia, nawapa hongera wananchi wa Geita, kitu kikubwa ni kuchapa kazi, nitaongea na Rais mpaka jioni, tutazungumzia kuhusu maendeleo ya nchi zetu", amesema Rais Nyusi.

Awali akimkaribisha hapa nchini, Rais Magufuli amesema kuwa, "Rafiki yangu nakushukuru sana kwa kuja Chato, Rais wa Msumbiji anafahamu Kiswahili, anayajua maisha ya Watanzania, urafiki kati ya hizi nchi mbili ni wa muda mrefu, sisi ni ndugu na ndani ya serikali tuna makubaliano ya kufanya kazi pamoja".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi