Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatangaza Kaimu Katibu Mkuu mpya

Friday , 20th Nov , 2020

UongozI wa Klabu ya Yanga, leo Novemba 20 umemtangaza Haji Mfikirwa kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya wakili Simon Patrick ambaye amesimamishwa kutokana na tuhuma za kuihujumu timu.

Haji Mfikirwa Kaimu Katibu Mkuu mpya wa Yanga SC

Mfikirwa ametangazwa na Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Frederick Mwakalebela mbele ya waandishi wa habari. Katika utambulisho huo Mwakalebela amesema Kamati ya Utendaji inamuamini Haji na ataweza kuipeleka mbele klabu hiyo kutokana na uwezo mkubwa alionao.

Haji Mfikirwa anachukua nafasi ya Patrick Simon ambaye alisimamishwa kazi Novemba 18, kutokana na tuhuma za kuihujumu Yanga, ikiwemo kufanya vikao vya siri na viongozi wa mahasimu wao wa soka hapa nchini.

Lakini pia katika mkutano huo na wanahabari Mwakalebela ameliomba Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuzifanyia kazi kesi zao walizo ziwasilisha ikiwemo ile ya Ramadhani Kabwili, pamoja na ile inayohusu juu ya uhalali wa mkataba wa Bernard Morrison na klabu ya Simba.

Aidha Yanga wameomba kesi ya mkataba wa Morrison na klabu ya Simba isikilizwe kabla ya dirisha dogo la usajili halijafunguliwa Disemba 15, 2020 kwani kuna ujanja unaweza kufanyika wa kubadilisha mkataba huo.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini