Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyumba aliyoishi Mwalimu Nyerere yazinduliwa

Saturday , 17th Oct , 2020

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema katika wizara hiyo wameanzisha mkakati maalum wa kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na tayari wameunda kamati maalum ambayo itashughulika na suala hilo.

Nyumba ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere, iliyoko maeneo ya Magomeni

Dkt Kigwangalla amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa nyumba kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarege Nyerere aliyowahi kuishi wakati wa harakati za kudai uhuru iliyopo Magomeni jijini Dar es salaam 

“Tayari nimeshaunda kamati itakayosimamia kuhakikisha yale mambo ambayo Baba wa Taifa ameyafanya yanaenziwa, sambamba na kuviweka vitu vyote alivyotumia kama kumbukumbu muhimu kwa taifa.’’amesema Dkt.Kigwangalla. 

Kwa upande wake Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba amesema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere bado hajaenziwa ipasavyo, hivyo kumtaka Waziri Kigwangalla kushirikiana na Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa kufanya maboresho yote ya maeneo ambayo Baba wa Taifa alikua akifanya kazi.

“Bado kuna maeneo mengine ambayo Baba wa Taifa ameyatumia wakati wa harakati za kudai uhuru,hiyvo yanapaswa kutambulika kihistoria’’, amesema Jaji Warioba

Naye mtoto wa Hayati Baba wa Taifa ,Mwalimu Nyerere,Makongoro Nyerere, akiwa mmoja wa waliohudhuria uzinduzi wa nyumba kumbukizi, amefurahishwa na jinsi serikali inavyomuenzi baba yao na kuwasihi Watanzania kujifunza historia aliyoiacha Baba wa Taifa na si kusubiri siku maalum

Nyumba hiyo imezinduliwa leo baada ya ukarabati, ilitumiwa na Baba wa Taifa wakati wa harakati za kudai uhuru na ndani yake vimehifadhiwa vitu mbalimbali alivyotumia Mwalimu ikiwemo cherehani iliyotumika kuzishona nguo zake. 

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ