Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV yaendelea kukabidhi makapu wiki ya wateja

Wednesday , 7th Oct , 2020

Kituo cha redio cha East Africa Radio, kupitia kipindi chake cha Supa Breakfast, kwa Kituo cha redio cha East Africa Radio, kupitia kipindi chake cha Supa Breakfast, kwa kushirikiana na Royal Oven Bakery, kimekabidhi zawadi kwa mtoa huduma bora wa pili-

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery mfanyakazi wa S. H. AMON Faraja Ezekiel.

kutoka duka kubwa la vipodozi la S.H. AMON tawi la Mlimani City baada ya  kuibuka mshindi kwa kutoa huduma bora kwa wateja.

Kampeni hiyo ya kuwazawadia watoa huduma bora katika Wiki ya Huduma kwa Wateja inaendeshwa kupitia wasikilizaji wa East Africa Radio, ambao hupiga simu na kuelezea namna ambavyo walipatiwa huduma bora na mtu aliyewahudumia katika taasisi husika na walivyosaidiwa kutatua tatizo lao.

Akizungumza baada ya kupatiwa kapu hilo liloloshehena aina mbalimbali ya vitafunwa vya kifungua kinywa, Faraja Ezekiel kutoka S. H. AMON, amesema kuwa mteja kwao ni mfalme na wamekuwa wakitoa huduma kwa kusikiliza mteja anataka nini kwa wakati huo.

Kwa upande wake Msimamizi wa S.H. AMON, Salama Nasoro amesema kuwa anaona faraja kwa mfanyakazi mwenzake kuchaguliwa na mteja ambaye huenda hata wao hawamkumbuki ila huduma yao imecha alama kwake, hivyo kuwasihi wafanyakazi wote kutoa huduma kwa upendo kwa wateja katika biashara yoyote.

 

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita