Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shibuda atangaza vita dhidi ya madhira watatu

Monday , 28th Sep , 2020

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha ADA TADEA, John Shibuda amezindua rasmi kampeni zake za urais huku akiahaidi kupambana na mambo matatu ambayo ni umaskini, ujinga na maradhi ili kuhakikisha utawala bora.

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha ADA TADEA, John Shibuda

Akizungumza na wananchi wa wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu kwenye uzinduzi wa kampeni zake Shibuda ,ameweka wazi kuwa hawana tataizo na vyama vingine vya siasa nchini.

“Sisi kama Chama cha ADA TADEA hatuna tatizo lolote na vyama vingine vya siasa bali tatizo letu kubwa ni mapambano dhidi ya madhira matatu ambayo ni; ujinga, maradhi na umaskini, na vita ya chama chetu ni kuhakikisha kuwa utawala bora unapatikana” alisema Shibuda

Aidha Shibuda amesema kuwa  endapo chama hicho kitapewa ridhaa na watanzania kimejipanga kuhakikisha kinaondoa maadui wakubwa wa ustawi na maendeleo ya jamii nchi huku akiwasisitiza  watanzania kumpigia kura za ndio katika nafasi ya urais.

Chama cha ADA TADEA kimezindua rasmi kampeni zake kitaifa mkoani Simiyu wilayani Maswa tarehe 27/09/2020 na kimetaja utawala wa sheria na siasa safi kuwa moja ya vipaumbele vyake.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini