Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa ajira wafungua wasomi kwenye fursa mpya

Monday , 21st Sep , 2020

Wakati vijana wengi wasomi wakiendelea kuhangaika na ajira rasmi katika taasisi na kampuni wapo wengine walioona fursa katika ujasiriamali licha ya changamoto ya masoko na mitaji.

EATV imekutana na kikundi cha wasichana watatu ambao wote ni wahitimu wa vyuo mbalimbali Jijini Dar es Salaam baada ya kukosa ajira zinazoendana na taaluma yao wakaamua kuungana na kufanya ujasiriamali wa uuzaji wa bidhaa za nguo, viatu na vito vya thamani.

“Sisi tulianza kidogo kidogo kuanzia chuoni na hii ilitokana na wengi waliotupiata madarasa kuzidi kulalamikia kukosa ajira mtaani, tumejiendeleza mpaka sasa hivi hatuwezi kulalamika kwakweli yinayaona mafanikio”alisema Liliani Ludovick mjasiriamali

Licha ya kuanza biashara hiyo ambayo kwa kipindi kirefu wamekuwa wakifanya kwa njia ya mtandao wanasema suala la mitaji na mwamko kutoka kwa wazazi kukubali wao kufanya biashara limekuwa ni changamoto kubwa huku wakitoa wito kwa wasomi wengine kuchangamkia fursa zilizopo.

“Kiukweli wazazi mwanzoni hawakupendezwa na jambo hili haswa baada ya kuwa na mategemeo makubwa katika masomo yetu wakitegemea kuwepo katika ajira rasmi, ila baadae walielewa na sasa wanatupa motisha kusonga mbele tunaamini ipo siku tutamiliki maduka makubwa “ alisistiza Marietha Mbunda

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ