Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaotumia watu wenye ulemavu kujinufaisha waonywa

Wednesday , 16th Sep , 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume, amesema kuwa kumeibuka wimbi la watu wanaotumia walemavu kujipatia kipato kwa kuwa ajiri vijana wanaowatembeza walemavu katika maeneo mbalimbali Jijini humu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume

Dkt. Mfaume amesema hayo leo, katika kikao kazi cha maafisa Ustawi wa Jamii mkoa wa Dar es Salaam, ambapo amewataka wanaofanya hivyo kuacha mara moja na wao kama mkoa wanafuatilia wahalifu hao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng’wilabuzu Ndwata Ludigija, amesema kuwa zaidi ya kaya 10000 jijini Dar es Salaam zimeanza kunufaika na mfuko wa afya wa jamii ikiwa ni mpango wa kuhakikisha huduma za afya zinawafikia watanzania wote kwa usawa bila kujali vipato vyao.

Wadau walioshiriki katika kikao kazi hicho, wamesema kuwa mikopo kwa ajili ya vijana, wanawake na walemavu itolewe mapema ili kutekeleza miradi kwa wakati.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini