Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinyago chaundwa kwa miaka 4, chauzwa milioni 50

Friday , 16th Aug , 2019

Unapostaajabu kazi ya sanaa ilivyo, yakupasa kufikiria na ubunifu wa watengenezaji wa kazi zenyewe ikiwemo vinyago vyenye muundo wa aina mbalimbali.

Muuzaji wa kinyago chenye thamani ya milioni 50

Ukipita katika eneo la Mwenge Jijini Dar es Salaam, sehemu panapouzwa vifaa mbalimbali vya sanaa maarufu kama Vinyago, utakutana na kinyago kilichochongwa kwa zaidi ya miaka minne kuanzia mwaka 2008 na kukamilika June 2012, kinyago kilichomlazimu mchongaji kutumia akili kubwa zaidi ili kukimaliza.

Inaelezwa kuwa kinyago hicho kilichongwa na mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Joacqim Mpende, na mfanyabiashara wa kinyago hicho anaitwa Vitaly Katani, ambapo ameeleza kuwa bei ya kinyago chake kwa sasa ni milioni 50.

Inadaiwa wamekuwa wakipatikana wateja wa kukinunua, lakini changamoto iliyopo ni namna ya upatikanaji wa vibali vya kusafirisha kazi ya sanaa nje ya nchi.

Mtazame hapa akizungumza.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini