Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara ajitolea kuwasapoti Yanga, aeleza hofu yake

Thursday , 15th Aug , 2019

Afisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa amejitolea kuwasapoti wapinzani wake Yanga, Azam FC na KMC katika michezo ya Kimataifa kwa kuwa ni suala la Kitaifa.

Haji Manara

Akizungumza katika mkutano na wanahabari, Makao Makuu ya TFF leo, Manara amesema kuwa linapokuja suala la Kitaifa huwa anaacha unazi wa klabu yake na kuungana, hivyo yuko tayari kusapoti timu hizo ili kwa pamoja zifuzu hatua ya makundi ya michuano ya vilabu Afrika, akihofia kuwa kufeli kufanya vizuri kwa timu hizo kutarudisha nyuma nafasi nne walizozipata katika miaka ijayo.

"Siwapendi kwelikweli Yanga lakini kwenye masuala ya Kitaifa, dua na sala zangu naelekeza kwao lakini wao huwa hawanielewi. Wakifungwa nitawacheka sikatai lakini kwa sasa ninawaombea wote sisi tufuzu hatua ya makundi kuna faida nyingi sana, na sio Simba tu na Yanga bali hata Azam na KMC", amesema Manara.

Aidha Manara amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mchezo wa Ngao ya Jamii Jumamosi hii kati ya Simba na Azam FC katika Uwanja wa Taifa.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi