Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazazi wampa mtoto jina la Google ili apendwe

Wednesday , 14th Aug , 2019

Mtoto mmoja nchini Indonesia amepewa jina la Google na wazazi wake kwa ajili ya kupata umaarufu na bahati kama ilivyo kwa mtandao wenyewe wa Google.

Mtoto aliyepewa jina la Google

Jina hilo amepewa na Baba na Mama yake mzazi na wala hatotumia majina matatu kama ilivyo kwa biandamu wengine ambavyo wanatumia.

Baba wa mtoto huyo ambaye ana miezi minane kwa sasa, aitwaye Andi Cahya Saputra(31), amesema kwenye vyombo vya habari vya nchi hiyo kuwa, “wazo la kumpa mwanaye jina hilo lilikuwa tangu mke wake alipokuwa na ujauzito wa miezi saba kwa mtoto huyo”.

Pia amesema ilikuwa ni changamoto kumpa jina hilo kwa sababu walipanga kumuita majina mengi yanayohusu makampuni ya vitu vya teknolojia kama vifaa vya simu, kompyuta, Windows, iPhone, Microsoft na Ios.

Aidha mama wa mtoto huyo aitwaye Ella Karin (27) amesema mwanzo hakulipenda jina hilo ila hatimaye alikubali kwa sababu linamaanisha ni moja kati ya mtandao unaongoza kwa umaarufu na kutembelewa na watu wengi zaidi duniani.

Mama wa mtoto huyo ameendelea kusema anamatumaini mwanaye huyo atakuwa kiongozi wa watu wengi kama ilivyo kwa mtandao wa Google wenyewe.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ