Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sprite Bball Kings 2019, vitu vya kunogesha

Thursday , 8th Aug , 2019

Mashindano ya mpira wa kikapu kwa wanaume ya Sprite Bball Kings yanayoandaliwa na East Africa Television na East Africa Radio na kupewa nguvu na kinywaji cha Sprite, yanatarajia kuanza hivi karibuni kwa msimu wa tatu.

Sprite Bball Kings 2019

Mashindano hayo yatakayofanyika kwa mwaka wa tatu mfululizo, yataanzia katika hatua ya mchujo kisha hatua ya 16 bora, robo fainali, nusu fainali hadi fainali.

Klabu zinaruhusiwa kusajili wachezaji 10 ambapo 6 kati yao watatoka katika ligi daraja la kwanza popote duniani, ilimradi awe Mtanzania na wengine wanne kutoka daraja lolote na ambao hawashiriki ligi yoyote.

Mashindano haya hayatakuwa na tozo yoyote katika kushiriki na sheria zitakazotumika kuendesha mashindano ni za Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA), pamoja na kanuni za Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF).

Tarehe ya kuanza kwa mashindano pamoja na utaratibu mzima wa jinsi mashindano yatakavyoendeshwa ikiwemo usaili wa timu, utatangazwa hivi karibuni kupitia EATV na EA Radio pamoja na EATV&Radio Digital.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita