Mtendaji mkuu wa Manchester United, Ed Woodward ambaye Klabu yake inapoteza Bilioni 12 za kitanzania kila mechi isiyohudhuriwa na mashabiki.
Rais wa Shirikisho la vyama vya wachimbaji wa madini Tanzania (FEMATA), John Bina.
Shilole na mtu ambaye anadaiwa ni mpenzi wake kwa sasa Rommy
Pichani ni Mwanasheria wa chama hicho Omary Shaban
Watuhumiwwa wa kesi ya uhujumu uchumi
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi akizungumza na waandishi wa habari (hawapopichani).
Profesa Ibrahim Lipumba
Mshambuliaji wa Yanga, Tuisila Kisinda (Kushoto) akijaribu kumpita mlinzi wa Mbeya City, Hassan Mwasapili (Kushoto) katika mchezo wa VPL uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa .
Mshambuliaji wa Simba SC Meddie Kagere amemaliza kinara wa ufungaji wa ligi kuu tTanzania bara kwa misimu miwili mfululizo akifunga jumla ya mabao 45



