Baadhi ya Watendaji wa Serikali na Maafisa wengine wakiwa wameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera kwenye ziara yake Kata ya Lualaje.

9 Nov . 2023

Balozi wa kampeni ya Namthamini, Justine Kessy akikabidhi taulo za kike kwa mwanafunzi wa shule ya Sekondari Kyanyari iliyopo Butiama, Mara

8 Nov . 2023