Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazidi kuijaza Simba 'presha' VPL

Tuesday , 17th Jan , 2017

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga imezidi kuwafanya wapenzi wa Simba kuishi kwa wasiwasi baada ya leo kuchukua point 3 kwa Majimaji ya Songea, na kufikisha point 43, ikiwa ni point moja tu nyuma vinara wa ligi, Simba SC.

Yanga na Majimaji (Maktaba)

Katika mchezo wa leo, Yanga imetumia uzoefu na ukubwa wake katika ligi hiyo, ha kufanikiwa kupata bao pekee katika dakika ya 14 kupitia kwa Deus Kaseke aliyemalizia mpira uliopanguliwa na kipa wa Majimaji wakati akicheza kros ya Haruna Niyonzima kutoka winga ya kushoto.

Majimaji ambao wako chini ya udhamini mpya na kocha Kally Ongala, katika mchezo wa leo wameonesha mchezo wa ushindani huku wakimiliki mpira zaidi ya Yanga, lakini wamekosa mbinu ambazo zingeweza kuleta madhara kwenye lango la Yanga.

Hadi mwisho wa mchezo kutoka katika dimba la Majimaji Songea, Yanga bao 1, Majimaji 0.

Matokeo haya yanaiongezea Yanga mtaji wa kusaka kukaa kileleni kwani endapo Simba watashindwa kupata point 3 katika mcheo wa kesho,tofauti itakuwa ni point moja, ambayo itawafanya wawe na nafasi nzuri ya kuwashusha Simba kileleni.

Kwa upande wao Simba wanashuka dimbani kesho kukipiga na Mtibwa Sugar katika dimba la Jamhuri Morogoro.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita