Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njia za kumsahau mpenzi wa zamani uliyempenda

Thursday , 11th Jul , 2019

Binadamu wameumbwa kupendana na hasa katika jinsia mbili tofauti, katika huko kupenda ndipo kikatengeneza kitu kinaitwa ndoa ili wawili waweze kufurahia upendo wao.

mtu mwenye msongo wa mawazo

Sio kweli kwamba kila mahusiano huwa yanadumu katika hali ileile, kwani wengine hufikia hatua ya kushindwa kuvumiliana kwa baadhi ya ilhali bado wanapendana. Unaweza ukawa umeachana na mwenza wako kwa ndoa au mahusiano kuvunjika lakini bado ukawa unasumbuliwa na mawazo yake, sasa utawezaje kumsahau?. Mtaalamu wa mahusiano, Godfrey Mshana kupitia DADAZ, ameelezea njia za kufuata ili kumsahau mtu ambaye ulimpenda sana na huwezi kumsahau.

Godfrey amesema kuwa kumbukumbu za mahusiano ni ngumu kusahaulika, lakini inategemea na hisia zenyewe zilikuwa ni za namna gani, mfano ni kwa mtu wa karibu zaidi ama mpenzi wako wa muda mrefu.

"Kwanza kusahau kuko kwa aina mbili, unaweza ukaifuta kabisa kumbukumbu ya mahusiano, lakini unaweza ukawa unashinda kuikumbuka kutokana na vikwazo fulanifulani. Ni kweli kumbukumbu za mahusiano ni ngumu kusahaulika, sasa kama ni ngumu kuna vitu ambavyo unatakiwa kuvifuata ili kusahau", amesema Mshana.

"Njia ya kwanza unatakiwa kujiuliza ni kwanini bado unaendelea kumkumbuka mpenzi wako wa zamani, kwahiyo kwenye majibu yako utajua kweli kama bado unampenda au laa, kama utagundua hamjaachana kweli, basi hatua ya pili tafuta namna ya kuachana, kwa maana wote mkubaliane kuwa sasa mnaachana", ameongeza.

Tazama video hapa chini kutazama njia zingine za kufuata ili kuweza kumsahau mpenzi ambaye bado unamkumbuka.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi