Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

WAKALI SISI VINARA DANCE 100% 2014

Saturday , 4th Oct , 2014

Fainali ya mashindano makubwa kabisa ya kudansi Afrika Mashariki, Dance 100 2014, yamefanyika leo kwa mafanikio makubwa na kundi la Wakali Sisi kufanikiwa kuibuka kidedea katika nafasi ya kwanza kama wakali wa kudansi kwa mwaka huu.

Kundi la Wakali Sisi Likikabidhiwa Hundi pamoja na Kombe na zawadi zao na Meneja Uhusiano wa Umma kutoka Vodacom, Bwana Matina Nkurlu

Kundi hili limekabidhiwa hundi ya shilingi Milioni 5 kama zawadi kuu ya mshindi, Smartphone aina ya Vodaphone zikiwa na muda wa maongezi shilingi Laki 1 kwa kila mwanakundi, pamoja na Kombe, huku mshindi wa pili The WT akiondoka na hundi ya shilingi Milioni 1 na laki 5, na mshindi wa tatu kundi la Wazawa Crew akiondoka na zawadi ya hundi ya shilingi laki 5.

Hii ni baada ya mpambano mkali wa round mbili kwa kila kundi, hatua ya kwanza ikihusisha kucheza Mega Mix za makundi ana ya piali ikihusisha kucheza nyimbo maalum ambazo ziliandaliwa na waratibu na makundi haya kujichagulia yenyewe.

MAshindano haya pia yamehusisha burudani ya aina yake ambapo katika hatua ya Ufunguzi, washiriki wote walipata nafasi ya kudansi na Msanii Mahiri na mwalimu wa Dansi Msami, kbla ya msanii huyu na timu ya madansa wake kulishambulia jukwaa kwa ku-perform nyimbo zake zinazofanya vizuri ikiwepo Soundtrack.

Vilevile baada ya mzunguko wa pili mkali wa kusuka mabiti na msanii Mesen Selekta naye alilishambulia jukwaa na kufanya live hits zake kali kabisa ikiwepo Kanyaboya.

Majaji wa mashindano haya kama kawaida walikuwa ni Super Nyamwela, Lotus kutoka EATV na Queen Darleen, na washereheshaji wakiwa ni T Bway pamoja na msanii wa muziki mkali kabisa Meninah.

Mashindano haya kwa ujumla wake yamewapambanisha makundi 5, wakiwepo Wakali Sisi, The Winners, Wazawa Crew, The WT pamoja na Best Boys yakidhaminiwa kwa nguvu na Vodacom Tanzania pamoja na Grand Malt.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi